Ikitokea free-kick, Neymar anawaza goli tu ..!! Messi anamchukulia poa?


FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++
Staa wa Soka Neymar da Silva Santos Júnior ni mkali ambaye anakamilisha kikosi cha watatu wakali wa Barcelona, yani hapo yuko yeye Luis Suárez na Lionel Messi.
Kwenye Timu inaweza ikatokea Mchezaji mmoja anapewa nafasi zaidi ya kupiga mashuti ya penati kama ikitokea, au nafasi ya kupiga faulo.. kuna vitu vinaendelea Uwanjani ambavyo watu wa nje huenda hawajui…
maxresdefault
Nimekuwa napiga sana free-kicks nikiwa na Klabu yangu ya Barcelona na hata kwenye Timu ya Taifa… Huwa napenda nione nafanya vizuri zaidi kila wakati, na kila ikitokea nafasi ya kupiga najiweka tayari kushinda goliNeymar.
Majina ya wakali watatu wa Barcelona yanatambuliks lakini Neymar anasema sio kila mtu anaoewa nafasi ya kupiga free-kicks ikitokea >>>> ‘Sina hofu yoyote kuhusu Messi kupiga free-kicks nyingi zaidi, sisi wote tunajua yeye ni mkali zaidi na mara nyingi anatupa ushindi wa Barcelona… ikitokea akinipa nafasi ya kupiga free-kicks nakuwa tayari wakati wowote, mara nyingi huwa tunajadiliana nani apige lakini mara nyingi Messi anatusaidia‘ >>> Neymar.
Ninacho kipande cha video, unaweza kucheki free-kicks za Neymar kwenye ubora wake kuanzia mwaka 2011 mpaka 2015.

wedding myths When you are taking any portrait try to find a way to get your couple to relax. When the couple is relaxed they will have more fun and their smiles will look much more natural. Often I will tell brides and grooms during their wedding pictures that I need a second to set something up (which is not true). Usually when I tell couples this they will relax and interact with each other which give me a great time to take more candid photos of them. When you are taking these best style pictures go and take detail pictures of little moments as the couple will love these. Believe it or not often these little detail pictures are the pictures our bride and groom get printed in large sizes.

We need your favorite Opinion! Just give us your Comment below please!

0 comments: