Shabiki wa Timu ya Simba ikufikie hii, na wewe unashiriki kumpata mchezaji Bora wa Mwezi..


FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++


Ikiwa ni katika muendelezo na harakati za kuipeleka klabu ya soka ya Simba katika mfumo wa kisasa na kujenga kikosi chenye wachezaji wenye morali uwanjani, mwezi September klabu ya Simba imetangaza kuanzisha mfumo wa kumtafuta mchezaji bora wa mwezi.
Kupitia kwa Rais wa klabu hiyo Evans Aveva ametangaza kuanzisha mpango huo mwezi September, ambapo mfumo utakaotumika kumpata mchezaji bora wa mwezi ni mashabiki ndio watakuwa na nafasi ya kumchagua kwa kumpigia kura kwa njia ya sms.
“wanachama na wapenzi wa Simba wanathamini mno mchango wa wachezaji katika kuifanya timu yetu ifanye vizuri, hivyo tumeona ni jambo la busara kuwa klabu ya kwanza Nchini Tanzania kuwa na tuzo ya mchezaji bora wa mwezi. Tunaamini kuwa Tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa Simba itaongeza morali na kujituma kwa wachezaji wetu” >>> Evans Aveva
DAKA RATIBA -02_2
wedding myths When you are taking any portrait try to find a way to get your couple to relax. When the couple is relaxed they will have more fun and their smiles will look much more natural. Often I will tell brides and grooms during their wedding pictures that I need a second to set something up (which is not true). Usually when I tell couples this they will relax and interact with each other which give me a great time to take more candid photos of them. When you are taking these best style pictures go and take detail pictures of little moments as the couple will love these. Believe it or not often these little detail pictures are the pictures our bride and groom get printed in large sizes.

We need your favorite Opinion! Just give us your Comment below please!

0 comments: