KIIZA AFAFANUA MAANA YA STAILI YAKE YA USHANGILIAJI…


FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++
Hamisi Kiiza akishangilia goli la kwanza na wachezaji wenzake wa Simba
Hamisi Kiiza akishangilia goli la na wachezaji wenzake wa Simba alipofunga wakati timu yake inacheza dhidi ya Kagera Sugar Jumapili kwenye uwanja wa Taifa
Mshambuliaji wa Simba Hamisi Kiiza jana alifanikiwa kuweka rekodi kwenye msimu huu wa ligi kwa kuwa mchezaji wa kwanza kufunga magoli matatu (hat-trick) kwenye mchezo kati ya Simba dhidi ya Kagera Sugar uliopigwa Jumapili kwenye uwanja wa taifa.
Baada ya mchezo huo kumalizika, mtandao huu ulipata nafasi ya kuzungumza na Kiiza licha ya mchezaji huyo kuonekana kuwa na haraka ya kwenda kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. Kikubwa tulichotaka kujua ni siri ya kasi aliyoanza nayo mshambuliaji huyo raia wa Uganda ambae ameshafunga kwenye mechi zote tatu na jingine ni kuhusu staili aliyoitumia kushangilia kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar.
Shaffihdauda.com: Kiiza umekuwa mchezaji wa kwanza kufunga magoli matatu ndani ya msimu huu, nini siri ya mafanikio yako maana mbali na kufunga goli tatu leo lakini kila mechi umefunga
Hamisi Kiiza: “Tumeshinda kwasababu tumecheza kitimu, tulifanya mazoezi kitimu sifa zote zinaenda kwa timu yangu na sio mimi”.
Shaffihdauda.com: Umefunga hat-trick leo (jana) mechi ijayo unakutana na Yanga, mchezo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa timu zote mbili. Itakuwa mechi yako ya kwanza dhidi ya timu yako ya  zamani ya Yanga tangu utue Simba, watu watarajie nini siku hiyo?
Hamisi Kiiza: “Ni mechi ngumu sana inafaa kujipanga, bado hatujakaa sawa kama vile tunavyotaka. Tunamuomba Mungu ili tupate matokeo mazuri kwenye mechi hiyo”.
Shaffihdauda.com: Kila bao ulilofunga ulikuwa unashangilia kwa kuashiria muda, ulikuwa unamaanisha nini kwa kufanya hivyo?
“Namaanisha ligi bado kwahiyo kuna mambo mengine mazuri yanakuja, mashabiki wa Simba waendelee kutupa muda na kuwa na subira”.
wedding myths When you are taking any portrait try to find a way to get your couple to relax. When the couple is relaxed they will have more fun and their smiles will look much more natural. Often I will tell brides and grooms during their wedding pictures that I need a second to set something up (which is not true). Usually when I tell couples this they will relax and interact with each other which give me a great time to take more candid photos of them. When you are taking these best style pictures go and take detail pictures of little moments as the couple will love these. Believe it or not often these little detail pictures are the pictures our bride and groom get printed in large sizes.

We need your favorite Opinion! Just give us your Comment below please!

0 comments: